Thursday, January 24, 2008

Mwai Kibaki , Raila Uso kwa uso






Jamaaa hatimaye wamekutana leo mchana na tabasamu la bandia. hebu waangalie vizuri hawatazaani wala nini. Sijui kama kitaendelea kitu. Hebu Bonyeza hapaupate habari zaidi. Navyo vyombo vya Kenya vilikuwa kimbelembele vikasema hivi hapaupate habari zaidi.

1 comment:

Anonymous said...

hawa ni mumiani, maana ndiyo wanaokunywa damu za wakenya.Mpaka hapo wakenya watakapogundua adui yao ni nani ndo mambo haya yatakwisha!

Slovakia Yafungua Ubalozi Tanzania

Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo...