Thursday, January 24, 2008

Mwai Kibaki , Raila Uso kwa uso






Jamaaa hatimaye wamekutana leo mchana na tabasamu la bandia. hebu waangalie vizuri hawatazaani wala nini. Sijui kama kitaendelea kitu. Hebu Bonyeza hapaupate habari zaidi. Navyo vyombo vya Kenya vilikuwa kimbelembele vikasema hivi hapaupate habari zaidi.

1 comment:

Anonymous said...

hawa ni mumiani, maana ndiyo wanaokunywa damu za wakenya.Mpaka hapo wakenya watakapogundua adui yao ni nani ndo mambo haya yatakwisha!

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...