Thursday, January 24, 2008

Mwai Kibaki , Raila Uso kwa uso






Jamaaa hatimaye wamekutana leo mchana na tabasamu la bandia. hebu waangalie vizuri hawatazaani wala nini. Sijui kama kitaendelea kitu. Hebu Bonyeza hapaupate habari zaidi. Navyo vyombo vya Kenya vilikuwa kimbelembele vikasema hivi hapaupate habari zaidi.

1 comment:

Anonymous said...

hawa ni mumiani, maana ndiyo wanaokunywa damu za wakenya.Mpaka hapo wakenya watakapogundua adui yao ni nani ndo mambo haya yatakwisha!

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...