Saturday, January 19, 2008

Ufisadi Air Tanzania Corp. Ltd Jk iokoe kampuni


Kuna hawa Watanzania wenzetu waliopo ndani na nje ya ATCL wameona hawawezi kukaa kimya wakiangalia jinsi inavyoangamia kwa ufisadi wa kisayansi.

Wanasema kuna Ufisadi wa kisayansi kwa sababu wanaofanya ufisadi huo ni uongozi wa kampuni kwa kutumia nafasi zao za madaraka na kujifanya huo ndio uongozi.

Wametaja watu kibao wanaodai ni mafisadi na pia wametaja mianya kibao inayowahusisha washirika hao. Hebu Bonyeza
hapa upate habari zaidi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...