Saturday, January 26, 2008

Annan ana kazi kubwa sana Kenya

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan anayo kazi ngumu sana kuweza kurudisha hali kama ilivyo Kenya sababu wanasasa wanalia machozi ya mambo wanakula Wakenya huku machozi yanawatoka hebu cheki hapa chini Hili jamaa siyo kwamba linalenga wanyama linakung'uta risasi live kwa watu.
Watoto wakiwa wamegeuka machokoraa kwa kulala mitaani , hapa wamejifunika blanketi.
Askari Polisi sijui kama ni kweli lakini nadhani ni wanajeshi wakiwa mitaani nakuru kupambana na raia hii ni noma.
Njemba hiii imeumizwa inawasilishwa hositalini leo asubuhi
Huyu naye makubwa yalimkumba, amekatwa mapanga kapigwa hadi anatisha.
Huyu kadungwa mshale. Picha zote za Reuters

No comments: