Friday, January 25, 2008

Mabundi


Wanafunzi wa shule ya Secondari ya Bugamba iliyopo Kigoma vijijini wakila kitabu katika ghetto lao walilopanga kutokana na shule yao kutokuwa na mabweni na wao wanaishi mbali na shule. Shule hiyo ina mwalimu 1 tu wa kuaajiliwa na 6 walio katika majaribio . Picha na Edwin Mjwahuzi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...