Friday, January 25, 2008

Mabundi


Wanafunzi wa shule ya Secondari ya Bugamba iliyopo Kigoma vijijini wakila kitabu katika ghetto lao walilopanga kutokana na shule yao kutokuwa na mabweni na wao wanaishi mbali na shule. Shule hiyo ina mwalimu 1 tu wa kuaajiliwa na 6 walio katika majaribio . Picha na Edwin Mjwahuzi.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...