
Kamanda wetu aliyekuwapo Kenya hivi karibuni, danny mwakiteleko akiwajibika huku mzee wa sumo akingoja zamu yake kwa nyuma. Sijui humo ndani ya vyupa kuna karubisi au ni bia.

Ukweni hakuna cha bosi wala nini. wote kubeba mzigo kichwani
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...
No comments:
Post a Comment