Ile panga pangua ya BoT ilimkumba kigogo Amatus Liyumba, ambaye inasemekana ndiye alikuwa akikaimu ugavana wakati Ballali alipokuwa nje kwa kipindi kirefu kipindi kile ambacho Naibu Gavana Mbaye alipoondoka na kabla Naibu Gavana Reli hajateuliwa.
Saturday, January 19, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI
📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
mmh huyu si ndiyo mzee wa magari mekundu..
afya mgogoro apumzike keshaua wengi kwa pesa za ufisadi
sasa kama ana magari mekundu wewe inahusu???kama umalaya ni wao wenyewe wanawake kujipeleka na sio swala lake...ndio mtabaki tu kusema hivyo hivyo..na mkichoka mtakaa kimya...kama pesa anazo na ndo anatumia...na hao wanawake lazma wajipeleke sababu wanapenda pesa...na yote hayo ni wivu,msione mtu anatajiri..nasi mshaanza kusema!!
Post a Comment