Ile panga pangua ya BoT ilimkumba kigogo Amatus Liyumba, ambaye inasemekana ndiye alikuwa akikaimu ugavana wakati Ballali alipokuwa nje kwa kipindi kirefu kipindi kile ambacho Naibu Gavana Mbaye alipoondoka na kabla Naibu Gavana Reli hajateuliwa.
Saturday, January 19, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
2 comments:
mmh huyu si ndiyo mzee wa magari mekundu..
afya mgogoro apumzike keshaua wengi kwa pesa za ufisadi
sasa kama ana magari mekundu wewe inahusu???kama umalaya ni wao wenyewe wanawake kujipeleka na sio swala lake...ndio mtabaki tu kusema hivyo hivyo..na mkichoka mtakaa kimya...kama pesa anazo na ndo anatumia...na hao wanawake lazma wajipeleke sababu wanapenda pesa...na yote hayo ni wivu,msione mtu anatajiri..nasi mshaanza kusema!!
Post a Comment