Saturday, January 19, 2008

Ile pangua pangu ilimkumba huyu jamaa



Ile panga pangua ya BoT ilimkumba kigogo Amatus Liyumba, ambaye inasemekana ndiye alikuwa akikaimu ugavana wakati Ballali alipokuwa nje kwa kipindi kirefu kipindi kile ambacho Naibu Gavana Mbaye alipoondoka na kabla Naibu Gavana Reli hajateuliwa.

2 comments:

Anonymous said...

mmh huyu si ndiyo mzee wa magari mekundu..

afya mgogoro apumzike keshaua wengi kwa pesa za ufisadi

Anonymous said...

sasa kama ana magari mekundu wewe inahusu???kama umalaya ni wao wenyewe wanawake kujipeleka na sio swala lake...ndio mtabaki tu kusema hivyo hivyo..na mkichoka mtakaa kimya...kama pesa anazo na ndo anatumia...na hao wanawake lazma wajipeleke sababu wanapenda pesa...na yote hayo ni wivu,msione mtu anatajiri..nasi mshaanza kusema!!

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...