Friday, January 11, 2008

Waziri Mkuu yuko Zanzibar



Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiwa na Waziri Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar jana kuhudhuria sherehe za Mapinduzi zitakazofanyika kesho. Kulia ni mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...