Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiwa na Waziri Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar jana kuhudhuria sherehe za Mapinduzi zitakazofanyika kesho. Kulia ni mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Friday, January 11, 2008
Waziri Mkuu yuko Zanzibar
Waziri Mkuu, Edward Lowassa akiwa na Waziri Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Shamsi Vuai Nahodha baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zanzibar jana kuhudhuria sherehe za Mapinduzi zitakazofanyika kesho. Kulia ni mke wa Waziri Mkuu, Mama Regina Lowassa . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SAMSUNG IMEFUNGUA MADUKA MAWILI MAPYA YA BRAND STORE KUNDUCHI NA UBUNGO
Dar es Salaam, Tanzania, 10 Februari 2025: Samsung Electronics East Africa imezindua rasmi maduka mawili mapya ya chapa ya Samsung katika ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
No comments:
Post a Comment