Saturday, January 12, 2008

Kibamba kuwa mji mkubwa



Eneo la Kibamba hivi karibuni liapandishwa hadhi na kuwa mji mkubwa tu lengo likiwa ni kuwavutia wananchi wa uko kubakia huko huko kwa kila kitu ikiwamo mahitaji ya majumbani hadi wakati mwingine maofisi na vitu vingi pichani unaweza kujionea maandalizi.

No comments:

KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA

Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji ,  amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...