Friday, January 25, 2008

Kikwete akutana na Nkurunziza





Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi katika uwanja wa ndege Mwanza jana mchana. Baadaye viongozi hao walifanya mazungumzo Ikulu ndogo Mwanza

No comments:

Slovakia Yafungua Ubalozi Tanzania

Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo...