Friday, January 25, 2008

Kikwete akutana na Nkurunziza





Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi katika uwanja wa ndege Mwanza jana mchana. Baadaye viongozi hao walifanya mazungumzo Ikulu ndogo Mwanza

No comments:

MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...