Rais Mwai Kibaki ambaye huenda ni Mzeee pengine kuliko wengi Afrika ambaye taifa lake la Kenya linakabiliana na mikikimikiki ya kisiasa baada ya kudaiwa kuiba kura na kujitangazia ushindi hii leo kafanya kiroja kingine yaani kabla ya wasuluhishi kufanya mambo tayari kateua serikali yake yenye mawaziri 17 akiwamo makamu wa Rais Stephen Kalonzo Musyoka wengine katika baraza hilo ni
1. Internal Security – Prof George Saitoti
2. Defence – Yusuf Hajji
3. Special Programmes – Naomi Shaban
4. Public Service - Asman Kamama
5. Finance – Amos Kimunya
6. Education – Prof Sam Ongeri
7. Foreign Affairs – Moses Wetangula
8. Local Government – Uhuru Kenyatta
9. Information and Communications – Samuel Poghisio
10. Water and Irrigation – John Munyes
Waweza kusoma zaidi hapa GAZETI LA NATION ili mpate taarifa zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment