Rais Mwai Kibaki ambaye huenda ni Mzeee pengine kuliko wengi Afrika ambaye taifa lake la Kenya linakabiliana na mikikimikiki ya kisiasa baada ya kudaiwa kuiba kura na kujitangazia ushindi hii leo kafanya kiroja kingine yaani kabla ya wasuluhishi kufanya mambo tayari kateua serikali yake yenye mawaziri 17 akiwamo makamu wa Rais Stephen Kalonzo Musyoka wengine katika baraza hilo ni
1. Internal Security – Prof George Saitoti
2. Defence – Yusuf Hajji
3. Special Programmes – Naomi Shaban
4. Public Service - Asman Kamama
5. Finance – Amos Kimunya
6. Education – Prof Sam Ongeri
7. Foreign Affairs – Moses Wetangula
8. Local Government – Uhuru Kenyatta
9. Information and Communications – Samuel Poghisio
10. Water and Irrigation – John Munyes
Waweza kusoma zaidi hapa GAZETI LA NATION ili mpate taarifa zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment