Saturday, January 12, 2008

Mapinduziiiiiii


Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.







Rais Jakaya Kikwete akisalimia wananchi waliojitokeza katika uwanja wa Amani alipoudhulia sherehe za Mapinduzi. chini, Rais Aman Abeid Karume akikagua gwaride la heshima jana katika uwanja wa Amani, Zanzibar katika sherehe za miaka 44 ya Mapinduzi Zanzibar na hao wengine chini ni Valantia wakali hao. Picha na Edwin Mjwahuzi

1 comment:

Darren Demers said...

Vijana wamebeba bango la mchoro wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume.
wholesalesalwar ,
stitched salwar kameez wholesale ,

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...