Wamemfanyia kila aina ya fitna ili kusudi akwame na wala asiweze kuiongoza taifa tajiri la kusini mwa Afrika la Afrika Kusini, lakini sasa Chama tawala cha nchi hiyo cha ANC kimeamua kumteua Jacob Zuma kuwa kugombea Urais wa chama hata kama anakabiliwa na tuhuma.
Anakabiliwa na tuhuma za ufisadi katika uuzaji vifaa vya kijeshi, na mikasa mingine kadhaa.
Halmashauri Kuu (NEC) ya chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC, imempendekeza Jacob Zuma (65) kuwa mgombea wake wa kiti cha urais baada ya Rais Thabo Mbeki.
Zuma amethibitishwa kugombea kiti hicho mwakani baada ya Rais Thabo Mbeki, kumaliza muda wake. Hata hivyo, kamati kuu ya chama hicho itapaswa kukaa na kujadili suala hilo.
NEC ya ANC, ilimthibitisha Zuma na kusema imefanya hivyo nikjua kwamba anakabiliwa na tuhuma rushwa na kesi yake iko mahakamani, lakini wako nyumba yake.
Katibu Mkuu ANC, Gwede Mantashe alisema chama hicho kina muunga mkono kiongozi huyo katika kukabiliana tuhuma za rushwa zinazomkabili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KAMISHNA WA UHIFADHI TANAPA AFANYA ZIARA YA KIKAZI KITUO CHA MALIKALE – MTWA MKWAWA, IHINGA, IRINGA
Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), CPA Musa Nassoro Kuji , amefanya ziara ya kikazi katika Kituo cha Malikale ch...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment