Wamemfanyia kila aina ya fitna ili kusudi akwame na wala asiweze kuiongoza taifa tajiri la kusini mwa Afrika la Afrika Kusini, lakini sasa Chama tawala cha nchi hiyo cha ANC kimeamua kumteua Jacob Zuma kuwa kugombea Urais wa chama hata kama anakabiliwa na tuhuma.
Anakabiliwa na tuhuma za ufisadi katika uuzaji vifaa vya kijeshi, na mikasa mingine kadhaa.
Halmashauri Kuu (NEC) ya chama tawala nchini Afrika Kusini cha ANC, imempendekeza Jacob Zuma (65) kuwa mgombea wake wa kiti cha urais baada ya Rais Thabo Mbeki.
Zuma amethibitishwa kugombea kiti hicho mwakani baada ya Rais Thabo Mbeki, kumaliza muda wake. Hata hivyo, kamati kuu ya chama hicho itapaswa kukaa na kujadili suala hilo.
NEC ya ANC, ilimthibitisha Zuma na kusema imefanya hivyo nikjua kwamba anakabiliwa na tuhuma rushwa na kesi yake iko mahakamani, lakini wako nyumba yake.
Katibu Mkuu ANC, Gwede Mantashe alisema chama hicho kina muunga mkono kiongozi huyo katika kukabiliana tuhuma za rushwa zinazomkabili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJALIWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA TEWW
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 25, 2025 ni mgeni rasmi katika kongamano la kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya Taasisi ya Elimu y...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment