Wednesday, January 23, 2008

Tabora Boys wa enzi hizo mpoooooo

Hapa washikaji unaweza kuwaona kutoka kulia Danny Lyimo, Luwaga Kizoka, James Kapaya, Daudi Masoli na Mzee Gombo mvua ilikuwa imenyesha kinoma.

Yahya Charahani, Danny Lyimo na Luwaga Kizoka


Jopo zima la wanafunzi wa kidato cha sita miaka hiyo hapo naweza kumuona kamanda Albert Ballati aliyepo karibu na mwalimu mwenye koti namkumbuka akiitwa mwalimu Nyanda wa Baioloji. Na huyu mbele kabisa hapa anaitwa afande Warioba alikuwa mnoko huyo sijui yuko wapi sasa?

Hapa ni langoni mwa Tabora boys high school, ukiwa unaingia hapa lazima uingien kikakamavu.

7 comments:

Evarist Chahali said...

Namuona afande Warioba na mwanya wake hapo mbele...Duh,yaani Cherahani umenikumbusha mbaaaali sana.Kumbe Mzee nawe ulipita hapo?Katika hizo picha namkumbuka Lyimo,yuko wapi huyu?
Bonge

Anonymous said...

Charahani wawakumbuka kina Gilbert Mwoga, Godfrey rweyemamu, Kin Kizito waliokuwa mwaka mmoja mebele yenu??

Anonymous said...

Yesss Evarist kumbe unamkumbuka huyu afande alikuwa mnoko kichizi siku moja katupiga extea drilll pale smart area tlikoma ni dakika 15 kila mtu alikuwa akitambaa kwa mikono. Yesss nilipita pale bwana shule yetu ile nimeikumbuka ile mbaya. Lyimo yuko hapa Bongo.

Wenu namkumbuka sana Mwoga na taarifa nilizo nazo ni kwamba yuko Marekani sijui state gani. Kizito naye pia naambiwa yuko Marekani muda mrefu tangu amalize skuli tuuu. , Geofrey rweyemamu nimewahi kukuona hapa Dar.

Anonymous said...

Yesss Evarist kumbe unamkumbuka huyu afande alikuwa mnoko kichizi siku moja katupiga extea drilll pale smart area tlikoma ni dakika 15 kila mtu alikuwa akitambaa kwa mikono. Yesss nilipita pale bwana shule yetu ile nimeikumbuka ile mbaya. Lyimo yuko hapa Bongo.

Wenu namkumbuka sana Mwoga na taarifa nilizo nazo ni kwamba yuko Marekani sijui state gani. Kizito naye pia naambiwa yuko Marekani muda mrefu tangu amalize skuli tuuu. , Geofrey rweyemamu nimewahi kumuona hapa Dar.

Unknown said...

Namtafuta Daudi Masoli tumepotezana miaka kama miwili,kama kuna mtu anajua habari zake tafadhali tuwaliane nae...

Anonymous said...

Hata mimi namkumbuka makarateka Warioba,Afande huyu mtaalamu wa viungo alikuwa chachu katika kuchakachua utukutu sugu....... Ingawa alionekana mtulivu wakati akitoa somo la miondoko,ikiwamo ghost walk......Alikuwa akiwachenjia kinoma wateja wa gatundu

Anonymous said...

Ha ha ha, Nilipita hapo mwaka 1986-1989, KMN