Saturday, January 05, 2008

Mambo bado magumu Kenya






Hali bado ni tata huku idadi ya watu waliokufa kufuatia machafuko
yaliyozuka tangu kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu kufikia zaidi
ya watu 300, na wengine maelfu kukosa makazi, hapa unaweza kuona mitaa ya KIbera huyu mwana mama katoika Shopping jamaa kampora, kisha kuna vibaka wamevunja duka kule Kisumu, na wengine wanapanda basi kukimbia mji.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...