Saturday, January 05, 2008

Mambo bado magumu Kenya






Hali bado ni tata huku idadi ya watu waliokufa kufuatia machafuko
yaliyozuka tangu kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu kufikia zaidi
ya watu 300, na wengine maelfu kukosa makazi, hapa unaweza kuona mitaa ya KIbera huyu mwana mama katoika Shopping jamaa kampora, kisha kuna vibaka wamevunja duka kule Kisumu, na wengine wanapanda basi kukimbia mji.

No comments:

Slovakia Yafungua Ubalozi Tanzania

Balozi Mteule wa kwanza wa Slovakia nchini Tanzania, Mhe. Ivan Lančarič amewasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri wa Mambo...