Saturday, January 05, 2008

Mambo bado magumu Kenya






Hali bado ni tata huku idadi ya watu waliokufa kufuatia machafuko
yaliyozuka tangu kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu kufikia zaidi
ya watu 300, na wengine maelfu kukosa makazi, hapa unaweza kuona mitaa ya KIbera huyu mwana mama katoika Shopping jamaa kampora, kisha kuna vibaka wamevunja duka kule Kisumu, na wengine wanapanda basi kukimbia mji.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...