Saturday, August 12, 2017

UZINDUZI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA SAFARI CITY NA MAKABIDHIANO YA HADI ZA UMILIKI UKIENDELEA



 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikaribishwa na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Kesogukewele Msita wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.


 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.


 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.





  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na  viongozi mbalimbali wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.


  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na  viongozi mbalimbali wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.





  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na  viongozi mbalimbali wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.


  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akisalimiana na  viongozi mbalimbali wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.






 Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji





 Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akizungumza wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji






Waziri Lukuvi akizungumza  wakati wa uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji.

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...