Saturday, August 12, 2017

MAANDALIZI YA UZINDUZI NYUMBA ZA MAKAZI NA KUKABIDHI HATI KWA WAENDELEZAJI WENZA WA MJI WA KISASA WA SAFARI CITY


Meneja wa Vitovu vya Miji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Bulla Boma akifafanua jambo kuhusiana na namna Kitovu cha Mji cha Safari City kitakavyokuwa wakati wa maandalizi ya uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji .
 Meneja wa Vitovu vya Miji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Bulla Boma akifafanua jambo kuhusiana na namna Kitovu cha Mji cha Safari City kitakavyokuwa wakati wa maandalizi ya uzinduzi wa nyumba za mfano na makabiadhiano ya Hati Miliki za Viwanja 100 za kwanza kwaajili ya Uendelezaji. Uzinduzi wa Nyumba 10 za mfano na makabidhiano ya Hati Miliki 100 za viwanja utafanywa kesho na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi. 
 Meneja Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akiwa ameongozana na timu ya Watangazaji wa Redio Clouds FM, Freddy Fidelis (FredWar) na Jimmy Jam wakati wakipita kushuhudia namna mambo yanavyokwenda katika eneo la Safari City
 Timu ya Shirika la Nyumba la Taifa wakati wakipita kushuhudia namna mambo yanavyokwenda katika eneo la Safari City, Matevez Arusha.
 Meneja Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akiwa ameongozana na timu ya Watangazaji wa Redio Clouds FM, Freddy Fidelis (FredWar) na Jimmy Jam wakati wakipita kushuhudia namna mambo yanavyokwenda katika eneo la Safari City.
Nyumba 10 za mfano za Shirika la Nyumba la Taifa zinavyoonekana leo kabla ya kufunguliwa rasmi kesho.


















No comments:

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...