Saturday, August 12, 2017

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Muliro J. Muliro awaongoza askari katika mazoezi

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Muliro J. Muliro (watatu kushoto) akiwaongoza askari na maofisa wa vyeo mbalimbali leo jijini Dar es salaam, katika matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano na ujasiri hususan katika kutekeleza majukumu ya kazi za Polisi na kukabiliana na matukio ya kihalifu. Picha na Jeshi al Polisi.
Askari na maofisa wa vyeo mbalimbali wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, leo jijini Dar es salaam, wakiwa katika mazoezi baada ya kumaliza matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano na ujasiri hususan katika kutekeleza majukumu ya kazi za Polisi na kukabiliana na matukio ya kihalifu, matembezi hayo yaliongozwa na kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Muliro J. Muliro. Picha na Jeshi al Polisi.
Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakifanya mazoezi leo jijini Dar es salaam, baada ya kumaliza matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano na ujasiri hususan katika kutekeleza majukumu ya kazi za Polisi na kukabiliana na matukio ya kihalifu, matembezi hayo yaliongozwa na kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Muliro J. Muliro. Picha na Jeshi al Polisi.

Baadhi ya askari wa vyeo mbalimbali kutoka mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, leo jijini Dar es salaa, wakiwa katika matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano na ujasiri hususan katika kutekeleza majukumu ya kazi za Polisi na kukabiliana na matukio ya kihalifu, matembezi hayo yaliongozwa na kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Muliro J. Muliro. Picha na Jeshi al Polisi.
Baadhi ya askari wa vyeo mbalimbali kutoka mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, leo jijini Dar es salaa, wakiwa katika matembezi ya pamoja ya kuimarisha afya na kujenga ushirikiano na ujasiri hususan katika kutekeleza majukumu ya kazi za Polisi na kukabiliana na matukio ya kihalifu, matembezi hayo yaliongozwa na kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Muliro J. Muliro. Picha na Jeshi al Polisi.

No comments: