Saturday, August 19, 2017

UJENZI WA UZIO WA KITUO KITUO CHA MABASI YAENDAYO HARAKA CHA MOROCCO


Mafundi wa wakiendelea na ujezi wa uzio katika kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Morocco  jijini Dar es Salaam.

Muonekano wa kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Morocco jijini Dar es Salaam.picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii.

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...