Wednesday, August 09, 2017

MKURUGENZI MKUU SSRA ATOA SOMO KWA WAFANYAKAZI WANAWAKE NHC

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka akizungumza na Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa juu ya masuala mbalimbali, baadhi ya masomo aliyofundisha ni pamoja na Mwanamke jitambue na jiamini, Hali uliyonayo sasa au hapo ulipo sasa si hatima ya maisha yako, Funga mkanda pambana mbele yako kuna MAFANIKIO YA AJABU SANA, Siyo lazima ufe maskini, bado lingalipo tumaini, Kesho yako ni bora Zaidi kuliko Jana yako

Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa pamoja na pamoja na Mratibu wa Mafunzo, Dkt. Yotham Mackenzie.

 Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa wakifuatilia kwa karibu mafunzo hayo, mafunzo hayo yaliwajumuisha wanawake wote wa Shirika la Nyumba la Taifa  Makao Makuu  na Mikoa yote ya Dar na Pwani.
  Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa wakifuatilia kwa karibu mafunzo hayo, mafunzo hayo yaliwajumuisha wanawake wote wa Shirika la Nyumba la Taifa  Makao Makuu  na Mikoa yote ya Dar na Pwani.
  Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa wakifuatilia kwa karibu mafunzo hayo, mafunzo hayo yaliwajumuisha wanawake wote wa Shirika la Nyumba la Taifa  Makao Makuu  na Mikoa yote ya Dar na Pwani.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka akizungumza na Wafanyakazi wanawake wa Shirika la Nyumba la Taifa juu ya masuala mbalimbali, baadhi ya masomo aliyofundisha ni pamoja na Mwanamke jitambue na jiamini, Hali uliyonayo sasa au hapo ulipo sasa si hatima ya maisha yako, Funga mkanda pambana mbele yako kuna MAFANIKIO YA AJABU SANA, Siyo lazima ufe maskini, bado lingalipo tumaini, Kesho yako ni bora Zaidi kuliko Jana yako

No comments: