Thursday, August 24, 2017

KAMATI YA MAWASILIANO NA UJENZI YA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR YAVUTIWA NA UTENDAJI WA NHC

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ambaye ni mwakilishi wa Jimbo la kwa Mtipura, Mhe:Hamza Hassan Juma. Katika Maelezo yake Mheshimiwa Hamza Juma alipongeza utendaji wa kasi wa NHC na kusema ndicho kitu kikubwa kilichowavutia kama Wazanzibari kufika NHC kujifunza na kuchukua fursa hiyo kulipongeza Shirika kwa mchango wake mkubwa wa kuliasisi Shirika la ZHC.




 Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ambaye ni mwakilishi wa Jimbo la kwa Mtipura, Mhe:Hamza Hassan Juma, akizungumza wakati ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar hiyo ulipofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi. 
 Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ambaye ni mwakilishi wa Jimbo la kwa Mtipura, Mhe:Hamza Hassan Juma, akizungumza wakati ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar hiyo ulipofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi. 
Baadhi ya Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa wakifuatilia kwa karibu maelezo yaliyokuwa yakitolewa katika mkutano huo jana mchana.
Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia maelezo katika mkutano huo.
Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia maelezo katika mkutano huo.
Baadhi ya Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na wengine kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na vyombo vya habari wakifuatilia kwa karibu maelezo yaliyokuwa yakitolewa katika mkutano huo jana mchana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Issack Peter akitoa maelezo ya miradi kwa ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi.
Wajumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar wakifuatilia maelezo katika mkutano huo.
Baadhi ya Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na wengine kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais na vyombo vya habari wakifuatilia kwa karibu maelezo yaliyokuwa yakitolewa katika mkutano huo jana mchana.
Mkurugenzi wa Ubunifu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Issack Peter akitoa maelezo ya miradi kwa ujumbe wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ambaye ni mwakilishi wa Jimbo la kwa Mtipura, Mhe:Hamza Hassan Juma, akizungumza na vyombo vya habari nje ya mutano huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na vyombo vya habari wakati Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi.


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumza na vyombo vya habari wakati Kamati ya Mawasiliano na Ujenzi ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar uliofika katika Shirika la Nyumba la Taifa kujifunza masuala mbalimbali yanayohusu sekta ya ujenzi, teknolojia mpya na mikakati ianayowezesha kufanyika kazi kwa kasi zaidi.

No comments: