Monday, August 21, 2017

POLEPOLE AKUTANA NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Masaidizi wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Petro Magoti akimpokea Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, alipowasili ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Katibu wa NEC, Itikadi na Uwenezi, Humphrey Polepole, leo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...