Monday, August 21, 2017

POLEPOLE AKUTANA NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI NCHINI, LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Masaidizi wa Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Petro Magoti akimpokea Kaimu Balozi wa Marekani hapa nchini Inmi Petterson, alipowasili ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Katibu wa NEC, Itikadi na Uwenezi, Humphrey Polepole, leo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...