WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezindua meli ya kisasa MV New Mwanza, akibainisha kuwa ni uwekezaji wa kimkakati wa Serikali katika kuimarisha usafiri wa majini, usalama wa abiria na kukuza uchumi wa Kanda ya Ziwa.
“Serikali imejidhatiti kuhakikisha usafiri wa majini unakuwa salama, wa uhakika na unaowanufaisha wananchi,” — Dkt. Mwigulu Nchemba
MV New Mwanza ina uwezo wa kubeba abiria 1,200, mizigo tani 400 na magari, huku safari ya Mwanza–Bukoba ikichukua takribani saa 6. Mradi huu umegharimu USD 51.83 milioni (takribani TSh bilioni 120.56).







No comments:
Post a Comment