Tuesday, August 09, 2011

Waziri Mkuu Pinda akiteta na mtoto



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza mtoto Oliver Stephene (9) akimwambia jambo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipokuwa akitembelea mabanda kwenye Kilele cha Maonyesho ya Wakulima Nanenane wa Mwalimu J. K. Nyerere Mjini Morogoro Augost 8, 2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...