Tuesday, August 09, 2011

Dk Migiro azindua ripoti ya utafiti na mpango wa kitaifa wa kushughulikia ukatili kwa watoto


Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,Dk Asha Rose Migiro akizungumzia umuhimu wa Taifa kusimamia haki ya mtoto ya kuishi kwa amani na furaha bila kufanyiwa Ukatili wa aina yoyote katika Kilele cha uzinduzi wa ripoti ya Utafiti na Mpango wa Kitaifa wa kushughulikia “Ukatili kwa Watoto” na mpango wa Udhibiti wa Taifa.

Katikati ni Naibu Katibu Mkuu Umoja Mataifa Dr. Asha Rose Migiro, wa pili kushoto ni Waziri wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto Sophia Simba, wa kwanza kushoto Waziri wa Elimu na mafunzo ya ufundi Dr. Shukuru Kawambwa, wa Pili Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI (Elimu) Mh. Majaliwa Majaaliwa na wa Kwanza Kulia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk Haji Mponda kwa pamoja wakikaribisha maandamano yaliyokuwa yakiingia katika viwanja vya Karimjee jana.

No comments: