Sunday, August 28, 2011

Futari kwa Makamu wa Rais Dk Bilal

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Issa Shaaban Simba, baada ya kumalizika kwa hafla ya futari iliyoandaliwa na Makamu katika makazi yake Oysterbay Dar es Salaam

Rais Dk Jakaya Kikwete, Makamu wake Dk Mohammed Gharib Bilal, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick, wakiomba dua kwa pamoja baada ya kupata futari iliyoandaliwa na mwenyeji wao. Picha ya VPO.

No comments:

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

✅ Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu ...