Thursday, August 04, 2011

Kanikumbusha mbali saana jamaa



Huyu jamaa ananikumbusha mbaaali saana aina yake ya ukinyozi anaoufanya ni long time ago hakika imenikumbusha miaka ileeee chini ya mwembe ambapo mzee wangu alikuwakinipeleka chini ya Mwembe mambo yamebadilika saana siku hizi tuna vijibanda au fremu zinazoitwa saloon kinafanyika kila kitu , lakini mzee wangu huyu yeye anasonga mbele na kazi yake. Kazi inayompatia kipato halali, hadhulumu, wala kukaba wala kufisadi ya mtu yeye anakula vichwa tuuu.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA VIONGOZI MASHUHURI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE - DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuz...