Wednesday, August 31, 2011

Rais Kikwete katika sherehe za Idd Dar, baraza la Iddi Dodoma

Sheikh Mkuu na mufti wa Tanzania Issa bin Shabaan Simba akimkaribisha katika baraza la Iddi Rais Jakaya Mrisho Kikwete lililofanyika katika msikiti wa Gaddafi Mkoani Dodoma (picha na Freddy Maro).

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapa mkono wa Iddi baadhi ya waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimu waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...