Wednesday, August 31, 2011

Rais Kikwete katika sherehe za Idd Dar, baraza la Iddi Dodoma

Sheikh Mkuu na mufti wa Tanzania Issa bin Shabaan Simba akimkaribisha katika baraza la Iddi Rais Jakaya Mrisho Kikwete lililofanyika katika msikiti wa Gaddafi Mkoani Dodoma (picha na Freddy Maro).

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapa mkono wa Iddi baadhi ya waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi(picha na Freddy Maro)


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimu waumini waliohudhuria swala ya Iddi katika msikiti wa Kichangani uliopo Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam leo asubuhi.

No comments: