Monday, August 08, 2011

Kilele cha Nane Nane


Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Jain Irrigation System ya India kuhusu umwagiliaji wa matone wenya gharama nafuu kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni, Manispaa ya Dodoma leo (Picha na Issa Sabuni, WKCU)

No comments:

SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO INA UMILIKI HISA CHACHE KUELEKEA DIRA 2050

Arusha. Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa  chache, ikiwa ni ...