Monday, August 08, 2011

Kilele cha Nane Nane


Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Jain Irrigation System ya India kuhusu umwagiliaji wa matone wenya gharama nafuu kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni, Manispaa ya Dodoma leo (Picha na Issa Sabuni, WKCU)

No comments:

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...