Monday, August 08, 2011

Kilele cha Nane Nane


Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Kampuni ya Jain Irrigation System ya India kuhusu umwagiliaji wa matone wenya gharama nafuu kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima, Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni, Manispaa ya Dodoma leo (Picha na Issa Sabuni, WKCU)

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...