Wednesday, August 10, 2011

Shida kubwa ya maji


Mkazi wa Migoli, Wilayani Iringa akitoka kuchota maji katika bwawa la Mtera. Maji hayo huuzwa ndoo sh 500 kutokana na uhaba wa maji unaokikabili kijiji cha Kigoli. Picha na Tumaini Msowoya.

No comments:

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...