Wednesday, August 10, 2011

Shida kubwa ya maji


Mkazi wa Migoli, Wilayani Iringa akitoka kuchota maji katika bwawa la Mtera. Maji hayo huuzwa ndoo sh 500 kutokana na uhaba wa maji unaokikabili kijiji cha Kigoli. Picha na Tumaini Msowoya.

No comments: