Thursday, August 04, 2011

mke wa rais wa burundi aanza ziara ya siku sita nchini leo



Mke wa Rais wa Burundi Mama Denise Bucumi (kushoto) akiongea na waandishi wa habari katika Ofisi za Taasisi ya WAMA jijini Dar es Salaam leo baada ya kufanya mazugumzo na Mwenyeji wake mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia), Mke huyo wa Rais wa Burundi atakuwa na ziara ya siku sita nchini. Picha zote za Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO

No comments:

MAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA VIONGOZI MASHUHURI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE - DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuz...