Mke wa Rais wa Burundi Mama Denise Bucumi (kushoto) akiongea na waandishi wa habari katika Ofisi za Taasisi ya WAMA jijini Dar es Salaam leo baada ya kufanya mazugumzo na Mwenyeji wake mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia), Mke huyo wa Rais wa Burundi atakuwa na ziara ya siku sita nchini. Picha zote za Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO
Thursday, August 04, 2011
mke wa rais wa burundi aanza ziara ya siku sita nchini leo
Mke wa Rais wa Burundi Mama Denise Bucumi (kushoto) akiongea na waandishi wa habari katika Ofisi za Taasisi ya WAMA jijini Dar es Salaam leo baada ya kufanya mazugumzo na Mwenyeji wake mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete (kulia), Mke huyo wa Rais wa Burundi atakuwa na ziara ya siku sita nchini. Picha zote za Mwanakombo Jumaa wa MAELEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment