Sunday, August 07, 2011

Baa la njaa laanza kusumbua nchini


Msije mkala mkasaza na kisha mkamwaga mjue kuna wenzenu huko Tanzania hii hii wanakabilia na njaa kali hebu angali wakazi wa Kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara wenye upungufu wa chakula wakipokea mahindi ya msaada kutoka Serikalini. Picha na Joseph Lyimo.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA VIONGOZI MASHUHURI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE - DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuz...