Sunday, August 07, 2011

Baa la njaa laanza kusumbua nchini


Msije mkala mkasaza na kisha mkamwaga mjue kuna wenzenu huko Tanzania hii hii wanakabilia na njaa kali hebu angali wakazi wa Kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara wenye upungufu wa chakula wakipokea mahindi ya msaada kutoka Serikalini. Picha na Joseph Lyimo.

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...