Sunday, August 07, 2011

Baa la njaa laanza kusumbua nchini


Msije mkala mkasaza na kisha mkamwaga mjue kuna wenzenu huko Tanzania hii hii wanakabilia na njaa kali hebu angali wakazi wa Kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara wenye upungufu wa chakula wakipokea mahindi ya msaada kutoka Serikalini. Picha na Joseph Lyimo.

No comments:

SERIKALI YATOA MAELEKEZO NANE KUIMARISHA KAMPUNI AMBAZO INA UMILIKI HISA CHACHE KUELEKEA DIRA 2050

Arusha. Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa  chache, ikiwa ni ...