Sunday, August 07, 2011

Baa la njaa laanza kusumbua nchini


Msije mkala mkasaza na kisha mkamwaga mjue kuna wenzenu huko Tanzania hii hii wanakabilia na njaa kali hebu angali wakazi wa Kitongoji cha Kilimahewa Kata ya Endiamtu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara wenye upungufu wa chakula wakipokea mahindi ya msaada kutoka Serikalini. Picha na Joseph Lyimo.

No comments:

TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...