Monday, August 01, 2011

Msimu wa Dhahabu Fiesta 2011 Dar


Mkali Ludacriss kutoka nchini Marekani akiimbisha mashabiki wake hawapo pichani, wakati aliposhuShughuli nzima ya Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta ilifungwa katika viwanja vya Leaders usiku wa kuamkia Julai 31 jijini Dar es salaam. Huu ni mwendelezo wa matukio yaliyojiri kutoka viwanja vya Leaders Kinondoni.


Mashabiki wameshachenguka na burudani kama unavyowaona mikono juujuu

Lina alitisha kwa kivazi chake hebu kicheki mdau.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...