Monday, August 01, 2011

Msimu wa Dhahabu Fiesta 2011 Dar


Mkali Ludacriss kutoka nchini Marekani akiimbisha mashabiki wake hawapo pichani, wakati aliposhuShughuli nzima ya Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta ilifungwa katika viwanja vya Leaders usiku wa kuamkia Julai 31 jijini Dar es salaam. Huu ni mwendelezo wa matukio yaliyojiri kutoka viwanja vya Leaders Kinondoni.


Mashabiki wameshachenguka na burudani kama unavyowaona mikono juujuu

Lina alitisha kwa kivazi chake hebu kicheki mdau.

No comments:

MAKAMU WA RAIS AZINDUA JENGO LA VIONGOZI MASHUHURI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE - DAR ES SALAAM

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Serikali imejizatiti kuhakikisha Sekta ya Uchukuz...