Sunday, August 07, 2011

Maonyesho ya Nane nane Moro



Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia ndege aina ya mbuni katika banda la Halmashauri ya mji mdogo wa Kibaha katika maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Nanenane ambayo yanafikia kilele chake leo mkoani hapa. Picha za Juma Mtanda

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...