Sunday, August 07, 2011

Maonyesho ya Nane nane Moro



Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia ndege aina ya mbuni katika banda la Halmashauri ya mji mdogo wa Kibaha katika maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Nanenane ambayo yanafikia kilele chake leo mkoani hapa. Picha za Juma Mtanda

No comments:

TANZANIA NA URUSI ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA KIMKAKATI KATIKA SEKTA YA UCHUKUZI

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Urusi zimeingia hatua mpya ya ushirikiano wa maendeleo baada ya kus...