Sunday, August 07, 2011

Maonyesho ya Nane nane Moro



Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wakiangalia ndege aina ya mbuni katika banda la Halmashauri ya mji mdogo wa Kibaha katika maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere Nanenane ambayo yanafikia kilele chake leo mkoani hapa. Picha za Juma Mtanda

No comments:

Serikali Yabainisha Maeneo ya Miradi ya Umeme wa Upepo na Jua, Kishapu kuzalisha MW 150

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Serikali imekwishabainisha na kufanya utafiti wa maeneo mbalimbali yanayofaa kuendelezw...