Tuesday, August 09, 2011

Kila la Kheri Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu




Unayemuona pichani ni Nelly Kamwelu, Miss Universe Tanzania 2011. Nelly ndiye atakayebeba bendera yetu akituwakilisha katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ambayo kwa mwaka huu yatafanyikia huko Sao Paulo, Brazil ndani ya Credicard Hall kunako tarehe 12 September, 2011. Tunamtakia kila la kheri Nelly katika maandalizi yake. Picha zimepigwa na Mdau Moiz Hussein.
Hebu cheki hapa kwa taarifa zaidi http://www.hakingowi.com/2011/08/kila-la-kheri-miss-universe-tanzania.html

No comments:

TUZINGATIE UTU, SHERIA NA HAKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU YA ULINZI WA RASILIMALI ZA TAIFA- DKT KIJAJI

  Na. Joyce Ndunguru, Morogoro. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Dkt Ashatu Kijaji (Mb) amewataka watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa W...