Tuesday, August 09, 2011

Kila la Kheri Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu




Unayemuona pichani ni Nelly Kamwelu, Miss Universe Tanzania 2011. Nelly ndiye atakayebeba bendera yetu akituwakilisha katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ambayo kwa mwaka huu yatafanyikia huko Sao Paulo, Brazil ndani ya Credicard Hall kunako tarehe 12 September, 2011. Tunamtakia kila la kheri Nelly katika maandalizi yake. Picha zimepigwa na Mdau Moiz Hussein.
Hebu cheki hapa kwa taarifa zaidi http://www.hakingowi.com/2011/08/kila-la-kheri-miss-universe-tanzania.html

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...