Tuesday, August 09, 2011

Kila la Kheri Miss Universe Tanzania 2011 Nelly Kamwelu




Unayemuona pichani ni Nelly Kamwelu, Miss Universe Tanzania 2011. Nelly ndiye atakayebeba bendera yetu akituwakilisha katika mashindano ya dunia ya Miss Universe ambayo kwa mwaka huu yatafanyikia huko Sao Paulo, Brazil ndani ya Credicard Hall kunako tarehe 12 September, 2011. Tunamtakia kila la kheri Nelly katika maandalizi yake. Picha zimepigwa na Mdau Moiz Hussein.
Hebu cheki hapa kwa taarifa zaidi http://www.hakingowi.com/2011/08/kila-la-kheri-miss-universe-tanzania.html

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...