Wednesday, June 03, 2009

Uopoaji maiti meli iliyozama Zanzibar bado wasuasua






Hali ya uokoaji wa meli ya Mv Fatih bado inaendelea katika hatua ya awali kama inavyonekana katika picha hiyo jinsi inavyovutwa na tagi kutoka Tanzania bara na Zanzibar, Mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange pia alikuwapo, kazi inaendelea lakini kwa sida saana, maiti nyingi zinaelezwa kukwama katika meli hiyo na zimeonwa na waopoaji picha na Haji Mtumwa, Zanzibar

1 comment:

Anonymous said...

my condolesence

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...