Wednesday, June 03, 2009

Uopoaji maiti meli iliyozama Zanzibar bado wasuasua






Hali ya uokoaji wa meli ya Mv Fatih bado inaendelea katika hatua ya awali kama inavyonekana katika picha hiyo jinsi inavyovutwa na tagi kutoka Tanzania bara na Zanzibar, Mkuu wa majeshi ya ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange pia alikuwapo, kazi inaendelea lakini kwa sida saana, maiti nyingi zinaelezwa kukwama katika meli hiyo na zimeonwa na waopoaji picha na Haji Mtumwa, Zanzibar

1 comment:

Anonymous said...

my condolesence

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...