Thursday, June 11, 2009

Bajeti ya uchaguzi


Waziri wa fedha na mipango Mustafa Mkullo akiingia bungeni leo na mkoba wake tayari kusoma bajeti ya mwaka 2009/2010. Ameishaisoma bajeti ambayo kwa kiaasi kikubwa imemegwa na Rais jakaya Kikwete kiufupi nachoweza kusema ni bajeti ya uchaguzi ameanza kuisoma toka saa kumi kamili za hapa kwetu. bajeti hiyo itaanza kujadiliwa Jumatatu

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...