Thursday, June 11, 2009

Bajeti ya uchaguzi


Waziri wa fedha na mipango Mustafa Mkullo akiingia bungeni leo na mkoba wake tayari kusoma bajeti ya mwaka 2009/2010. Ameishaisoma bajeti ambayo kwa kiaasi kikubwa imemegwa na Rais jakaya Kikwete kiufupi nachoweza kusema ni bajeti ya uchaguzi ameanza kuisoma toka saa kumi kamili za hapa kwetu. bajeti hiyo itaanza kujadiliwa Jumatatu

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...