Waziri wa fedha na mipango Mustafa Mkullo akiingia bungeni leo na mkoba wake tayari kusoma bajeti ya mwaka 2009/2010. Ameishaisoma bajeti ambayo kwa kiaasi kikubwa imemegwa na Rais jakaya Kikwete kiufupi nachoweza kusema ni bajeti ya uchaguzi ameanza kuisoma toka saa kumi kamili za hapa kwetu. bajeti hiyo itaanza kujadiliwa Jumatatu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment