Thursday, June 11, 2009

Bajeti ya uchaguzi


Waziri wa fedha na mipango Mustafa Mkullo akiingia bungeni leo na mkoba wake tayari kusoma bajeti ya mwaka 2009/2010. Ameishaisoma bajeti ambayo kwa kiaasi kikubwa imemegwa na Rais jakaya Kikwete kiufupi nachoweza kusema ni bajeti ya uchaguzi ameanza kuisoma toka saa kumi kamili za hapa kwetu. bajeti hiyo itaanza kujadiliwa Jumatatu

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...