Sunday, June 07, 2009

Twanga pepeta Mwana Dar es Salaam






Vijana wa kundi zima la African Stars wana wa kutwanga na kupepeta wakiwa kazini wakiwajibika wakati wa uzinduzi wa albamu yao ya kumi ambayo uzinduzi wake ulifanyika Diamond Jubilee na kujaa watu kibao akiwamo Waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora, Sophia Simba ambaye yupo pichani.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...