Sunday, June 07, 2009

Twanga pepeta Mwana Dar es Salaam






Vijana wa kundi zima la African Stars wana wa kutwanga na kupepeta wakiwa kazini wakiwajibika wakati wa uzinduzi wa albamu yao ya kumi ambayo uzinduzi wake ulifanyika Diamond Jubilee na kujaa watu kibao akiwamo Waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora, Sophia Simba ambaye yupo pichani.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...