Sunday, June 07, 2009

Twanga pepeta Mwana Dar es Salaam






Vijana wa kundi zima la African Stars wana wa kutwanga na kupepeta wakiwa kazini wakiwajibika wakati wa uzinduzi wa albamu yao ya kumi ambayo uzinduzi wake ulifanyika Diamond Jubilee na kujaa watu kibao akiwamo Waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora, Sophia Simba ambaye yupo pichani.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...