Sunday, June 07, 2009

Twanga pepeta Mwana Dar es Salaam






Vijana wa kundi zima la African Stars wana wa kutwanga na kupepeta wakiwa kazini wakiwajibika wakati wa uzinduzi wa albamu yao ya kumi ambayo uzinduzi wake ulifanyika Diamond Jubilee na kujaa watu kibao akiwamo Waziri wa Nchi ofisi ya Rais utawala bora, Sophia Simba ambaye yupo pichani.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...