Sunday, June 14, 2009

Miundombinu yetu Mtwara


Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo, akivuka katika daraja la miti alipokwenda kukagua shamba darasa la Mpunga katika kijiji cha Mchichira, wilaya ya Tandahimba mkoani hapa jana Picha na Abdallah Bakari

No comments:

WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DKT. SAMIA

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuz...