Sunday, June 14, 2009

Miundombinu yetu Mtwara


Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo, akivuka katika daraja la miti alipokwenda kukagua shamba darasa la Mpunga katika kijiji cha Mchichira, wilaya ya Tandahimba mkoani hapa jana Picha na Abdallah Bakari

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...