Sunday, June 14, 2009

Miundombinu yetu Mtwara


Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo, akivuka katika daraja la miti alipokwenda kukagua shamba darasa la Mpunga katika kijiji cha Mchichira, wilaya ya Tandahimba mkoani hapa jana Picha na Abdallah Bakari

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...