Sunday, June 14, 2009

Miundombinu yetu Mtwara


Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo, akivuka katika daraja la miti alipokwenda kukagua shamba darasa la Mpunga katika kijiji cha Mchichira, wilaya ya Tandahimba mkoani hapa jana Picha na Abdallah Bakari

No comments:

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KATIBU MKUU JUMUIYA YA MADOLA LONDON, UINGEREZA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Palamagamba Kabudi, amefanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Commonwealth of Nations, Shirley Botc...