Friday, June 26, 2009

Mbilia Bell yuko nchini


Msanii wa miondoko ya Zouk Mbilia Bell akiwaonyesha umahiri wake wa kucheza zouk waandishi wa habari katika ukumbi wa May Fair.

Msanii wa miondoko ya Zouk, Mbilia Bell akiwa na ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania , Celine Njuju muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, msanii huyo anatarajiwa jkufanya maonyesho kadhaa nchini.Picha kwa hisani ya Zain.

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...