Friday, June 26, 2009

Mbilia Bell yuko nchini


Msanii wa miondoko ya Zouk Mbilia Bell akiwaonyesha umahiri wake wa kucheza zouk waandishi wa habari katika ukumbi wa May Fair.

Msanii wa miondoko ya Zouk, Mbilia Bell akiwa na ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania , Celine Njuju muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, msanii huyo anatarajiwa jkufanya maonyesho kadhaa nchini.Picha kwa hisani ya Zain.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...