Friday, June 26, 2009

Mbilia Bell yuko nchini


Msanii wa miondoko ya Zouk Mbilia Bell akiwaonyesha umahiri wake wa kucheza zouk waandishi wa habari katika ukumbi wa May Fair.

Msanii wa miondoko ya Zouk, Mbilia Bell akiwa na ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania , Celine Njuju muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, msanii huyo anatarajiwa jkufanya maonyesho kadhaa nchini.Picha kwa hisani ya Zain.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...