Friday, June 26, 2009

Mbilia Bell yuko nchini


Msanii wa miondoko ya Zouk Mbilia Bell akiwaonyesha umahiri wake wa kucheza zouk waandishi wa habari katika ukumbi wa May Fair.

Msanii wa miondoko ya Zouk, Mbilia Bell akiwa na ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania , Celine Njuju muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, msanii huyo anatarajiwa jkufanya maonyesho kadhaa nchini.Picha kwa hisani ya Zain.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...