Mama Revy Kapinga akiweka shada la maua juu ya kaburi la mumewe marehemu John Kolos Kapinga wakati wa mazishi yaliyofanyika jana jioni eneo la Kimara stop over jijini Dar es salaam.Picha zote zimepigwa na mdau Aron Msigwa wa MAELEZO- Dar.
Thursday, June 11, 2009
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sukita mzee John Kapinga azikwa
Mama Revy Kapinga akiweka shada la maua juu ya kaburi la mumewe marehemu John Kolos Kapinga wakati wa mazishi yaliyofanyika jana jioni eneo la Kimara stop over jijini Dar es salaam.Picha zote zimepigwa na mdau Aron Msigwa wa MAELEZO- Dar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030
Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment