Monday, June 01, 2009

Faru arejeshwa toka Czech


Wanyama Faru akishushwa katika ndege akitokea Jamuhuri ya Czeck ikiwa ni sehemu ya mpango wa serikali kuwarejesha nchini Faru ambao walikuwa wametoweka kutokana na ujangili. Faru huyo ni mmoja kati ya watatu toka Jamhuri ya Czech ambao walirejeshwa juzi baada ya serikali kuwaomba kutokana na kuimarishwa ulinzi ndani ya hifadhi, faru hao watahifadhiwa katika kituo maalum cha mfuko wa hisani wa kulinda wanyamapo (WPTF) kilichopo ndani ya hifadhi ya Mkomazi kwa miezi miwili kuzowea hali ya hewa ya tanzania na baadaye kuachiwa kuishi ndani ya hifadhi hiyo. picha na mussa juma

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...