Wanyama Faru akishushwa katika ndege akitokea Jamuhuri ya Czeck ikiwa ni sehemu ya mpango wa serikali kuwarejesha nchini Faru ambao walikuwa wametoweka kutokana na ujangili. Faru huyo ni mmoja kati ya watatu toka Jamhuri ya Czech ambao walirejeshwa juzi baada ya serikali kuwaomba kutokana na kuimarishwa ulinzi ndani ya hifadhi, faru hao watahifadhiwa katika kituo maalum cha mfuko wa hisani wa kulinda wanyamapo (WPTF) kilichopo ndani ya hifadhi ya Mkomazi kwa miezi miwili kuzowea hali ya hewa ya tanzania na baadaye kuachiwa kuishi ndani ya hifadhi hiyo. picha na mussa juma
Monday, June 01, 2009
Faru arejeshwa toka Czech
Wanyama Faru akishushwa katika ndege akitokea Jamuhuri ya Czeck ikiwa ni sehemu ya mpango wa serikali kuwarejesha nchini Faru ambao walikuwa wametoweka kutokana na ujangili. Faru huyo ni mmoja kati ya watatu toka Jamhuri ya Czech ambao walirejeshwa juzi baada ya serikali kuwaomba kutokana na kuimarishwa ulinzi ndani ya hifadhi, faru hao watahifadhiwa katika kituo maalum cha mfuko wa hisani wa kulinda wanyamapo (WPTF) kilichopo ndani ya hifadhi ya Mkomazi kwa miezi miwili kuzowea hali ya hewa ya tanzania na baadaye kuachiwa kuishi ndani ya hifadhi hiyo. picha na mussa juma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment