Monday, June 01, 2009

Faru arejeshwa toka Czech


Wanyama Faru akishushwa katika ndege akitokea Jamuhuri ya Czeck ikiwa ni sehemu ya mpango wa serikali kuwarejesha nchini Faru ambao walikuwa wametoweka kutokana na ujangili. Faru huyo ni mmoja kati ya watatu toka Jamhuri ya Czech ambao walirejeshwa juzi baada ya serikali kuwaomba kutokana na kuimarishwa ulinzi ndani ya hifadhi, faru hao watahifadhiwa katika kituo maalum cha mfuko wa hisani wa kulinda wanyamapo (WPTF) kilichopo ndani ya hifadhi ya Mkomazi kwa miezi miwili kuzowea hali ya hewa ya tanzania na baadaye kuachiwa kuishi ndani ya hifadhi hiyo. picha na mussa juma

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...