Sunday, June 07, 2009

Wavamia shamba la mbunge wachoma moto




Baadhi ya wananchi wakijibebea mali mbali mbali katika nyumba za mbunge wa jimbo la vunjo, Alyoce Kimaro baada ya kuchoma nyumba zaidi ya 15 jana na kuzivunja. Nyumba hizo zipo katika eneo la Mandara Estate lililonunuliwa na mbunge huyo serikalini ili ajenge hoteli. picha zote na mussa juma

No comments:

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI KUZINDUA BANDARI KAVU YA KWALA – PWANI

Pwani, Julai 31, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameweka jiwe la msingi kuashiria u...