Sunday, June 07, 2009

Wavamia shamba la mbunge wachoma moto




Baadhi ya wananchi wakijibebea mali mbali mbali katika nyumba za mbunge wa jimbo la vunjo, Alyoce Kimaro baada ya kuchoma nyumba zaidi ya 15 jana na kuzivunja. Nyumba hizo zipo katika eneo la Mandara Estate lililonunuliwa na mbunge huyo serikalini ili ajenge hoteli. picha zote na mussa juma

No comments:

SADC Yazindua Mkakati wa Mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano...