Baadhi ya wananchi wakijibebea mali mbali mbali katika nyumba za mbunge wa jimbo la vunjo, Alyoce Kimaro baada ya kuchoma nyumba zaidi ya 15 jana na kuzivunja. Nyumba hizo zipo katika eneo la Mandara Estate lililonunuliwa na mbunge huyo serikalini ili ajenge hoteli. picha zote na mussa juma
Sunday, June 07, 2009
Wavamia shamba la mbunge wachoma moto
Baadhi ya wananchi wakijibebea mali mbali mbali katika nyumba za mbunge wa jimbo la vunjo, Alyoce Kimaro baada ya kuchoma nyumba zaidi ya 15 jana na kuzivunja. Nyumba hizo zipo katika eneo la Mandara Estate lililonunuliwa na mbunge huyo serikalini ili ajenge hoteli. picha zote na mussa juma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA
Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment