Sunday, June 07, 2009

Wavamia shamba la mbunge wachoma moto




Baadhi ya wananchi wakijibebea mali mbali mbali katika nyumba za mbunge wa jimbo la vunjo, Alyoce Kimaro baada ya kuchoma nyumba zaidi ya 15 jana na kuzivunja. Nyumba hizo zipo katika eneo la Mandara Estate lililonunuliwa na mbunge huyo serikalini ili ajenge hoteli. picha zote na mussa juma

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...