Tuesday, June 23, 2009

Mama Kikwetena mama Mkapa


Mwenyekiti wa mfuko wa wanawake na maendeleo (WAMA) mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa mfuko wa fursa kwa wote (EOTF) mama Mkapa wakiagana baada ya semina ya wanawake wajasiriamali kufunguliwa na Rais wa Zanzibar katika ukumbi wa Chuo cha uhasibu Kurasini. Picha kwa hisani ya Ikulu.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...