Tuesday, June 23, 2009

Mama Kikwetena mama Mkapa


Mwenyekiti wa mfuko wa wanawake na maendeleo (WAMA) mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa mfuko wa fursa kwa wote (EOTF) mama Mkapa wakiagana baada ya semina ya wanawake wajasiriamali kufunguliwa na Rais wa Zanzibar katika ukumbi wa Chuo cha uhasibu Kurasini. Picha kwa hisani ya Ikulu.

No comments:

WAZIRI NA NAIBU WAZIRI WA ARDHI WASHIRIKI KIKAO CHA KWANZA CHA MKUTANO WA 19 WA BUNGE LA 12 KWA AJILI YA KUJADILI BAJETI YA SERIKALI 2025/2026

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi (MB), leo tarehe 8 Aprili 2025, ameshiriki kikao cha kwanza cha Mku...