Tuesday, June 23, 2009

Mama Kikwetena mama Mkapa


Mwenyekiti wa mfuko wa wanawake na maendeleo (WAMA) mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa mfuko wa fursa kwa wote (EOTF) mama Mkapa wakiagana baada ya semina ya wanawake wajasiriamali kufunguliwa na Rais wa Zanzibar katika ukumbi wa Chuo cha uhasibu Kurasini. Picha kwa hisani ya Ikulu.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...