Wednesday, June 10, 2009

Eti Zain kuuzwa kwa wafaransa

Taarifa nyingi zimesambaa sasa ya kwamba kampuni maarufu ya simu za mkononi ambayo imeshajibadili majina mara mbili hivi iko mbioni kuuzwa kwa kampuni ya kifaransa ya mtandao wa mawasiliano ya simu za viganjani kampuni hiyo inaelezwa kuyameza mambo yote ya Zain
Soma kinagaubaga taarifa hapa upate habari hizi kwa kina.

No comments:

HESLB NA ADAPT IT ZAINGIA MAKUBALIANO RASMI

Dar es Salaam, Jumatatu, Disemba 08, 2025 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya k...