Wednesday, June 10, 2009

Eti Zain kuuzwa kwa wafaransa

Taarifa nyingi zimesambaa sasa ya kwamba kampuni maarufu ya simu za mkononi ambayo imeshajibadili majina mara mbili hivi iko mbioni kuuzwa kwa kampuni ya kifaransa ya mtandao wa mawasiliano ya simu za viganjani kampuni hiyo inaelezwa kuyameza mambo yote ya Zain
Soma kinagaubaga taarifa hapa upate habari hizi kwa kina.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...