Wednesday, June 10, 2009

Eti Zain kuuzwa kwa wafaransa

Taarifa nyingi zimesambaa sasa ya kwamba kampuni maarufu ya simu za mkononi ambayo imeshajibadili majina mara mbili hivi iko mbioni kuuzwa kwa kampuni ya kifaransa ya mtandao wa mawasiliano ya simu za viganjani kampuni hiyo inaelezwa kuyameza mambo yote ya Zain
Soma kinagaubaga taarifa hapa upate habari hizi kwa kina.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...