Wednesday, June 10, 2009

Eti Zain kuuzwa kwa wafaransa

Taarifa nyingi zimesambaa sasa ya kwamba kampuni maarufu ya simu za mkononi ambayo imeshajibadili majina mara mbili hivi iko mbioni kuuzwa kwa kampuni ya kifaransa ya mtandao wa mawasiliano ya simu za viganjani kampuni hiyo inaelezwa kuyameza mambo yote ya Zain
Soma kinagaubaga taarifa hapa upate habari hizi kwa kina.

No comments:

KIKWETE ASEMA MFUKO WA UWEKEZAJI WA FAIDA WAKUA KWA KASI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Wawekezaji wa Mfuko wa...