Sunday, June 07, 2009

Athari za mabomu ya Mbagala



Kama unavyoona moshi mkubwa ukitanda wakati wataalam wa Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ walipofanya kazi nyingine ya kutegua mabomu 11 jana kuanzia saa nne asubuhi watu kadhaa wamejeruhiwa na kupata mshituko na kukimbizwa katika Hospitali ya Temeke kwa Matibabu. soma kinagaubaga taarifa hapa
upate habari hizi kwa kina.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...