Sunday, June 07, 2009

Athari za mabomu ya Mbagala



Kama unavyoona moshi mkubwa ukitanda wakati wataalam wa Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ walipofanya kazi nyingine ya kutegua mabomu 11 jana kuanzia saa nne asubuhi watu kadhaa wamejeruhiwa na kupata mshituko na kukimbizwa katika Hospitali ya Temeke kwa Matibabu. soma kinagaubaga taarifa hapa
upate habari hizi kwa kina.

No comments:

TANZANIA YAIPONGEZA NORWAY KWA KUENDELEA KUUNGA MKONO MAENDELEO

  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameipongeza Serikali ya Ufalme wa Norway kwa ...