Sunday, June 07, 2009

Athari za mabomu ya Mbagala



Kama unavyoona moshi mkubwa ukitanda wakati wataalam wa Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ walipofanya kazi nyingine ya kutegua mabomu 11 jana kuanzia saa nne asubuhi watu kadhaa wamejeruhiwa na kupata mshituko na kukimbizwa katika Hospitali ya Temeke kwa Matibabu. soma kinagaubaga taarifa hapa
upate habari hizi kwa kina.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...