Sunday, June 07, 2009

Athari za mabomu ya Mbagala



Kama unavyoona moshi mkubwa ukitanda wakati wataalam wa Jeshi la wananchi wa Tanzania JWTZ walipofanya kazi nyingine ya kutegua mabomu 11 jana kuanzia saa nne asubuhi watu kadhaa wamejeruhiwa na kupata mshituko na kukimbizwa katika Hospitali ya Temeke kwa Matibabu. soma kinagaubaga taarifa hapa
upate habari hizi kwa kina.

No comments:

RUZUKU YA SH.MILIONI 250 YATOLEWA KWA WABUNIFU WA MATUMIZI BORA YA NISHATI

📌 Kamishna wa Umeme asema Serikali itaendelea kuwawezesha vijana wabunifu katika teknolojia ya matumizi bora ya nishati 📌 Wabunifu wa kike...