Sunday, May 31, 2009

PAMBANO LA CHEKA NA NADILOV


MSAIDIZI wa bondia Ramil Nadilov akimfuta damu bondia wake mara baada ya raundi ya kwanza kumalizika hata hivyo bondia huyo akuweza kumaliza pambano hilo lililokuwa la raundi 12, kutokana na jeraha hilokatika jicho.

KATIBU tawala wa Mkoa wa Tanga, Paulo Chikira (kushoto na Promota wa Pambano hilo Zumo Makame wakimnyanyua mikoa Francis Cheka mara baada ya kumchapa kwa KO ya raundi ya pili Bondia Ramil Nadilov na kutwaa wa mabara wa UBO.


Francis Cheka akipambana na Ramil Nadilov katika pambano la kimataifa la kuwania ubingwa mabara wa UBO lililofanyika katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga jana,Cheka alishinda pambano hilo katika raundi ya pili kwa KO na kutwaa ubingwa huo, Picha zote na Samuel Msuya, Tanga.


1 comment:

John Mwaipopo said...

hapa cheka ametuchekesha kwa kweli. atiwe moyo huyu bondia jamani. atatufikisha mbali kweli. hongera tele!

TAFITI NA GUNDUZI ZA WANASAYANSI CHIPUKIZI ZINAUNGA MKONO LENGO LA KUANZISHA SHULE ZA AMALI - PROF. SHEMDOE

Na: OWM – TAMISEMI, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Rizi...