Friday, November 25, 2016

MAMENEJA WA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA WATOA MISAADA KWA WAGONJWA TAASISI YA SARATANI OCEAN ROAD


Kiongozi wa Mameneja wa Shirika la Nyumba la Taifa waliomaliza mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC akijadiliana jambo na wenzake wakati wakielekea  kwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali pamoja na fedha katika taasisi ya Saratani ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwasaidia baadhi ya wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo misaada hiyo ilitolewa kwa wagonjwa wa wodi zote ili kuweza kuwasaidia katika masuala yao mbalimbali.
Baadhi ya Mameneja wa Shirika la Nyumba la Taifa waliomaliza mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC wakibeba bidhaa mbalimbali kwajili ya kwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali pamoja na fedha katika taasisi ya Saratani ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwasaidia baadhi ya wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo misaada hiyo ilitolewa kwa wagonjwa wa wodi zote ili kuweza kuwasaidia katika masuala yao mbalimbali.
 Baadhi ya Mameneja wa Shirika la Nyumba la Taifa waliomaliza mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC wakibeba bidhaa mbalimbali kwajili ya kwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali pamoja na fedha katika taasisi ya Saratani ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwasaidia baadhi ya wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo misaada hiyo ilitolewa kwa wagonjwa wa wodi zote ili kuweza kuwasaidia katika masuala yao mbalimbali.
 Baadhi ya Mameneja wa Shirika la Nyumba la Taifa waliomaliza mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC  wakibeba bidhaa mbalimbali kwajili ya kwenda kutoa msaada wa vitu mbalimbali pamoja na fedha katika taasisi ya Saratani ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwasaidia baadhi ya wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo misaada hiyo ilitolewa kwa wagonjwa wa wodi zote ili kuweza kuwasaidia katika masuala yao mbalimbali.
 Baadhi ya Mameneja wa Shirika la Nyumba la Taifa waliomaliza mafunzo ya Uongozi yanayoendeshwa na Taasisi ya Uongozi ya NHC a na fedha katika taasisi ya Saratani ya Ocean Road jijini Dar es Salaam kwaajili ya kuwasaidia baadhi ya wagonjwa waliopo katika hospitali hiyo misaada hiyo ilitolewa kwa wagonjwa wa wodi zote ili kuweza kuwasaidia katika masuala yao mbalimbali.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...