Tuesday, November 29, 2016

WAZIRI MKUU MH. KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NYUMBA (NHC)

mchec1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji  wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu kwenye chumba cha watu mashuhuri cha uwanja wa ndege wa Julius Kambarage Nyerere jijini  Dr es salaam Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
mchec2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu kwenye uwanja wa ndge wa Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es salaam Novemba 28, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Kaimu Mkurugenzi Mbarali Apokea Mkataba wa Ujenzi wa Kiwanda cha Kuchakata Mafuta ya Alizeti

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali , Bi. Gloria Komba, amepokea rasmi mkataba wa ujenzi wa jengo la kuchakata mafuta ya al...