Thursday, November 03, 2016

SPIKA WA KWANZA WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI, KATIBU MKUU WA CCM, ABDULRAHMAN KINANA AKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE HILO LEO


Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungunguza na wabunge wa Bunge hilo, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ili umsalimia na kupata mawazo kutokana na uzoefu wake hasa alipokuwa Spika wa Bunge hilo la Afrika Mashariki. Wa Kwanza kulia upande wa mstari wa kushoto, ni Mwenyekiti wa Wabunge hao, Makongoro Nyerere, Shayrose Bhaji, Yves Nsabimana, Maryam Ussi, Twaha Tasilima, Wilime Asheri ambaye ni mratibu EALA, na kutoka kulia, mstari wa kulia ni, Katibu wa NEC Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib, na Wabunge wa EALA, Adam Kimbisa, Bernard Murunya, Abdulla Mwinyi,Angela Kizigha na mwisho Msemaji wa CCM, Christopher Sendeka.
Mwenyekiti wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere, akiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kuongoza msafara wa wabunge hao kumsalimia Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo 
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-rose Bhanji, akiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, wakati msafara wa wabunge yeye na wabunge wenzake wa Bunge hilo, walipofika kumsalimia Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo 
Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-rose Bhanji, akiwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, wakati msafara wa wabunge yeye na wabunge wenzake wa Bunge hilo, walipofika kumsalimia Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo. Kulia ni Mbunge Bunge hilo, Yves Nsabimana. 
Mwenyekiti wa Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere, akiteta jambo na Mbunge wa Bunge hilo, wakati wakimsubiri kuingia ukumbini, Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo
Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib akisalimiana na Mbunge wa Bunge la Afika Mashariki Bernard Murunya, alipowasili wakati Wabunge wa Bunge hilo, walipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumbai Dar es Salaam, kumsalimia Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo. Katikati ni Adam Kimbisa. 


Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib akifurahia jambo na Makongro Nyerere wakati wakisalimiana ukumbini, kabla ya Kinana kuwasili
Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib akisalimiana na Mbunge wa Bunge la Afika Mashariki Shy-Rose Bhanji, alipowasili wakati Wabunge wa Bunge hilo, walipofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumbai Dar es Salaam, kumsalimia Spika wa kwanza wa Bunge hilo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, leo.
Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Mohammed Seif Khatib (kulia), akiwa na Wabunge wa Bunge la Afika Mashariki, Adam Kimbisa, Bernard Murunya, na Abdulla Mwinyi, wakati wakimsubiri Kinana kuingia ukumbini 
Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki Yves Nsabimana na Maryam Ussi, wakibadilishana mawazo ukumbini
Mbunge wa Afrika Mashariki Angela Kizigha akimsalimia Mbunge mwenzake wa Bunge hilo, Bernard Murunya alipowasili ukumbini

Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia Mweneyekiti wa Wabunge wa Bunge hilo, Makongoro Nyerere alipowasili ukumbini
Kinana akimsalimia Shy-Rose Bhanji
Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungunguza na wabunge wa Bunge hilo, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ili umsalimia na kupata mawazo kutokana na uzoefu wake hasa alipokuwa Spika wa Bunge hilo la Afrika Mashariki.
Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungunguza na wabunge wa Bunge hilo, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ili umsalimia na kupata mawazo kutokana na uzoefu wake hasa alipokuwa Spika wa Bunge hilo la Afrika Mashariki. 
ukumbini
Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akiwa katika picha ya pamoja baada ya kuzungunguza na wabunge wa Bunge hilo, walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam, ili umsalimia na kupata mawazo kutokana na uzoefu wake hasa alipokuwa Spika wa Bunge hilo la Afrika Mashariki.
Shy-Rose Bhanji akimshukuru Kinana.
Kisha akapozi naye kwa picha ya kumbukumbu
Halafu akapozi na Msemaji wa CCM, Ole Sendeka
Baadaye tena akajipiga selfie, akiwa na Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Zakia Meghji
Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana na Makongoro Nyerere
Spika wa kwanza wa Bunge la Afrika Mashariki, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiagana na Twaha Tasilima. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO-theNkoromo Blog

No comments: