Wednesday, July 02, 2014

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAPETA MAONYESHO YA 38 YA TANTRADE JIJINI DAR ES SALAAM

 Wateja mbalimbali waliofika katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo mchana wakisikiliza maelekezo kutoka kwa maafisa mauzo wa Shirika hilo. Aliyeketi ni Narindwa Norbert wa Shirika la Nyumba.
Ofisa Habari wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Edith Nguruwe akiwaelekeza wateja waliofika katika banda la shirika hilo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Banda la shirika hilo lililopo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Ofisa Habari wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Edith Nguruwe akiwaelekeza wateja waliofika katika banda la shirika hilo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Banda la shirika hilo lililopo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Banda la shirika hilo lililopo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Banda la shirika hilo lililopo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
 Banda la shirika hilo lililopo kwenye viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam
Wateja mbalimbali waliofika katika banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) leo mchana wakisikiliza maelekezo kutoka kwa maafisa mauzo wa Shirika hilo. 
Emmannuel Lyimo wa Shirika la Nyumba la Taifa akitoa maelekezo kwa wateja waliofika bandani hapo



No comments:

TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA

📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...